Kutembea pekupeku kunavyoweza kukuokoa na kifo

Kwa mujibu wa utafiti ambao daktari kote amegundua ni kuwa kugusa ardhi moja kwa moja kwa ngozi ya miguu husaidia kusawazisha chaji ya umeme mwilini, hali inayojulikana kama ”earthing” au ”grounding” hili linaweza kupunguza mfadhaiko wa akili, kuimarisha usingizi na kupunguza maumivu sugu mwilini.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *