Kusalimu amri Trump katika sera zake za vita vya kiuchumi duniani

Rais wa Marekani Donald Trump, amesalimu amri baada ya masoko ya hisa ya Marekani kuporomoka vibaya kutokana na sera zake mbovu za kuanzisha vita vya kiudhumi na kuzipandishia ushuru bidhaa za nchi zote duniani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *