Katika muhula wake wa pili wa urais, Donald Trump, rais mpya wa Marekani kwa mara nyingine tena ameamua kutumia mtindo alioutumia katika muhula wake wa kwanza wa kuuunga mkono bila mpaka utawala wa Kizayuni wa Israel na kuchukua hatua mpya za kuisaidia na kuihami Israel dhidi ya Wapalestina.
Related Posts
Siri ya silaha ya siri ya urusi iliyoanguka Ukraine
Njia mbili za moshi mweupe zinapoonekana kuvuka anga karibu na mstari wa mbele wa mapigano mashariki mwa Ukraine, huwa inamaanisha…
Njia mbili za moshi mweupe zinapoonekana kuvuka anga karibu na mstari wa mbele wa mapigano mashariki mwa Ukraine, huwa inamaanisha…
Namibia imerekodi zaidi ya kesi 56,000 za malaria tangu Disemba
Waziri wa Afya wa Namibia, Esperance Luvindao amesema kuwa nchi yake imerekodi kesi 56,130 za malaria na vifo 95 tangu…
Waziri wa Afya wa Namibia, Esperance Luvindao amesema kuwa nchi yake imerekodi kesi 56,130 za malaria na vifo 95 tangu…
Uhusiano na mkoloni Ufaransa wazidi kuharibika, Algeria yamwita balozi
Wizara ya Mambo ya Nje ya Algeria imemwita balozi wa Ufaransa mjini Algiers, Stephane Romatet ili kujieleza ikiwa ni kuonesha…
Wizara ya Mambo ya Nje ya Algeria imemwita balozi wa Ufaransa mjini Algiers, Stephane Romatet ili kujieleza ikiwa ni kuonesha…