Kukiri jamii ya ujasusi ya Marekani kwamba Hamas haijashindwa huko Gaza

Ripoti kuhusu vitisho ambayo hutolewa kila mwaka na jamii ya masuala ya ujasusi ya Marekani imekiri kwamba kundi la muqawama wa Palestina la Hamas huko Gaza halijashindwa bado na kwamba linaendelea kudumisha nguvu, wapiganaji na miundombinu yake.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *