Biashara kati ya Iran na Umoja wa Kiuchumi wa Nchi za Eurasia imekuwa ikistawi siku hadi siku licha ya vikwazo vikubwa vya kiuchumi vilivyowekwa na Magharibi dhidi ya Iran. Kwa mujibu wa tawimu mpya zilizotolewa hivi karibuni, uuzaji bidhaa za Iran kwa nchi wanachama wa umoja huo katika mwaka uliopita uliongezeka kwa asilimia 20 na kufikia karibu dola bilioni mbili.
Related Posts
Makumi ya raia wameuawa katika hujuma za US nchini Yemen
Wimbi la mashambulizi ya kiuhasama ya Marekani dhidi ya Yemen kwa lengo la kuilazimisha nchi hiyo ya Kiarabu kusitisha msaada…
Wimbi la mashambulizi ya kiuhasama ya Marekani dhidi ya Yemen kwa lengo la kuilazimisha nchi hiyo ya Kiarabu kusitisha msaada…
Jenerali mstaafu: Wanajeshi wa Israel wauawa ‘bila uwiano’ huko Gaza
Jenerali mstaafu: Wanajeshi wa Israel wauawa ‘bila uwiano’ huko Gaza Jenerali mstaafu wa Israel Itzhak Brik ametilia shaka uwezo wa…
Jenerali mstaafu: Wanajeshi wa Israel wauawa ‘bila uwiano’ huko Gaza Jenerali mstaafu wa Israel Itzhak Brik ametilia shaka uwezo wa…
Katibu Mkuu wa UN aahidi Afrika kuwa na mwakilishi wa kudumu kwenye Baraza la Usalama
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema sio sawa kwa bara la Afrika kutokuwa na kiti cha mwakilishi wa kudumu…
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema sio sawa kwa bara la Afrika kutokuwa na kiti cha mwakilishi wa kudumu…