Baraza la Seneti la Marekani halijauidhinisha mswada wa vikwazo dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, vikwazo ambavyo ni jibu la utoaji vitisho linalolenga kuiadhibu mahakama hiyo kwa uamuzi wake wa kutoa hati za kukamatwa waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na aliyekuwa waziri wa vita wa utawala huo wa Kizayuni Yoav Gallant.
Related Posts
Misri yapinga pendekezo la Israel la kutaka Gaza isimamiwe na Cairo
Misri imepinga pendekezo lililotolewa na kiongozi wa upinzani wa Israel, Yair Lapid kwamba Cairo, badala ya Harakati ya Muqawama wa…
Misri imepinga pendekezo lililotolewa na kiongozi wa upinzani wa Israel, Yair Lapid kwamba Cairo, badala ya Harakati ya Muqawama wa…
Hamas ina uwezo gani wa kujijenga upya?
Ikiwa ni katika kuendelea mwenendo wa kukiri uwezo wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) wa kujikarabati na…
Ikiwa ni katika kuendelea mwenendo wa kukiri uwezo wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) wa kujikarabati na…
RSF yaua raia 23 katika mashambulizi kadhaa al-Jazira, Sudan
Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan (RSF) vimeripotiwa kuwauwa makumi ya raia katika vijiji vya jimbo la al-Jazira ambalo…
Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan (RSF) vimeripotiwa kuwauwa makumi ya raia katika vijiji vya jimbo la al-Jazira ambalo…