Kremlin: Umoja wa Ulaya unataka vita, sio mazungumzo

Msemaji wa Ikulu ya Russia (Kremlin), Dmitry Peskov amesema Umoja wa Ulaya umekuwa ukizuia juhudi za kidiplomasia za Washington na Moscow kwa ajili ya kumaliza mzozo wa Ukraine, na badala yake unafanya jitihada za kurefusha uhasama na mzozo huo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *