Akizungumza jana Ijumaa katika kikao na maelfu ya watu wa matabaka tofauti katika siku ya kwanza ya mwaka wa Kiirani wa 1404 Hijria Shamsia, Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haiogopi vitisho vya Marekani, na kwamba iwapo italisababishia madhara yoyote taifa la Iran, itapata kipigo na kofi kali.
Related Posts
Wizara ya Mambo ya Nje: Iran haikubali mazungumzo chini ya mashinikizo
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haikubali mazungumzo chini ya mashinikizo, na kutangaza kuwa:…
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haikubali mazungumzo chini ya mashinikizo, na kutangaza kuwa:…
Kuongezeka hatua za Trump dhidi ya vyuo vikuu na wanafunzi wanaowatetea Wapalestina
Katika muhula wake wa pili wa urais, Donald Trump, rais mpya wa Marekani kwa mara nyingine tena ameamua kutumia mtindo…
Katika muhula wake wa pili wa urais, Donald Trump, rais mpya wa Marekani kwa mara nyingine tena ameamua kutumia mtindo…
HAMAS yapongeza operesheni ya Ukingo wa Magharibi iliyoangamiza na kujeruhi askari kadhaa wa Israel
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imepongeza operesheni ya kulipiza kisasi iliyotekelezwa dhidi ya wanajeshi wa utawala wa…
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imepongeza operesheni ya kulipiza kisasi iliyotekelezwa dhidi ya wanajeshi wa utawala wa…