Kofi kali; Jibu la taifa la Iran kwa uhabithi wa Marekani

Akizungumza jana Ijumaa katika kikao na maelfu ya watu wa matabaka tofauti katika siku ya kwanza ya mwaka wa Kiirani wa 1404 Hijria Shamsia, Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haiogopi vitisho vya Marekani, na kwamba iwapo italisababishia madhara yoyote taifa la Iran, itapata kipigo na kofi kali.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *