Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, akiwapongeza wapiganaji wa Muqawama kwa ushindi wao katika Ukanda wa Gaza, amesisitiza kwamba kazi kubwa ya viongozi na wapiganaji wa Muqawama wa Palestina ipo katika “umoja na mshikamano” na “kusimama imara” dhidi ya adui, kuendesha mchakato mgumu wa mazungumzo, pamoja na uvumilivu na ustahimilivu wa wananchi, ambavyo vimeinua heshima ya Muqawama katika eneo.
Related Posts
Copter ya Mi-28NM yagonga magari ya kivita ya Ukraine katika eneo la mpaka wa Kursk – Wizara ya Ulinzi
Copter ya Mi-28NM yagonga magari ya kivita ya Ukraine katika eneo la mpaka wa Kursk – Wizara ya UlinziUpelelezi ulithibitisha…
Copter ya Mi-28NM yagonga magari ya kivita ya Ukraine katika eneo la mpaka wa Kursk – Wizara ya UlinziUpelelezi ulithibitisha…
Pyongyang yajibu mapigo, yavurumisha makombora baharini
Korea Kaskazini imevurumisha makombora kadhaa ya balestiki baharini leo Jumatatu, saa chache baada ya wanajeshi wa Korea Kusini na Marekani…
Korea Kaskazini imevurumisha makombora kadhaa ya balestiki baharini leo Jumatatu, saa chache baada ya wanajeshi wa Korea Kusini na Marekani…
Bunge la Brussels: Vita vya Israel dhidi ya Gaza ni mauaji ya kimbari
Katika hatua kubwa kwa harakati za kupigania haki za wananchi wa Palestina, Bunge la Brussels limepasisha azimio la kutambua rasmi…
Katika hatua kubwa kwa harakati za kupigania haki za wananchi wa Palestina, Bunge la Brussels limepasisha azimio la kutambua rasmi…