Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma salamu na ujumbe maalumu kwa mnasaba wa kufanyika mazishi na maziko ya Mwanajihadi mkubwa Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah na Shahidi Sayyid Hashem Safiyyuddin na kusisitiza kuwa: “adui ajue kwamba, Muqawama wa kukabiliana na ughasibu, dhulma na uistikbari si wa kumalizika; na kwa idhini ya Allah utaendelea hadi ufikie lengo ulilokusudia”.
Related Posts
Oxfam: Tunaanza kuelewa kina cha uharibifu uliofanyika Gaza
Shirika la Oxfam la Uingereza limetangaza kuwa utawala wa Israel umeharibu zaidi ya asilimia 80 ya mitandao ya maji na…
Shirika la Oxfam la Uingereza limetangaza kuwa utawala wa Israel umeharibu zaidi ya asilimia 80 ya mitandao ya maji na…
Maandamano dhidi ya Trump na Musk kila siku Washington DC
Mji mkuu wa Marekani, Washington DC, unaendelea kushuhudia maandamano ya karibu kila siku dhidi ya Rais Donald Trump kutokana na…
Mji mkuu wa Marekani, Washington DC, unaendelea kushuhudia maandamano ya karibu kila siku dhidi ya Rais Donald Trump kutokana na…

Usambazaji wa gesi ya bomba la Urusi kwa EU wazidi 40%
Usambazaji wa gesi ya bomba la Urusi kwa EU unaruka 40%Wakati huo huo, uwasilishaji wa LNG ya Amerika kwa kambi…
Usambazaji wa gesi ya bomba la Urusi kwa EU unaruka 40%Wakati huo huo, uwasilishaji wa LNG ya Amerika kwa kambi…