Kiongozi Muadhamu: Iran ina wajibu wa kusimama dhidi ya tawala kandamizi

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema lazima Iran isimame dhidi ya tawala zinazoua watoto pamoja na wale wanaowaunga mkono na kusitisha ukandamizaji, na itaendelea kufanya hivyo licha ya uadui unaoibuliwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *