Kiongozi Muadhamu: Hatusubiri idhini ya yeyote katika kurutubisha madini ya urani

Kiongozi Muadhamu: Hatusubiri idhini ya yeyote katika kurutubisha madini ya urani

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Iran haingojei ruhusa ya mtu yeyote ili kurutubisha madini ya urani na kwamba Jamhuri ya Kiislamu ina sera zake.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *