Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametoa salamu za rambirambi kwa familia zinazoomboleza wahanga wa mripuko “mchungu” katika Bandari ya Shahid Rajaee katika mji wa kusini wa Bandar Abbas, na kutaka uchunguzi wa kina ufanyike kuhusiana na tukio hilo.
Related Posts
“Maharamia” warejea kwa nguvu Somalia, wateka nyara meli ya uvuvi
Watu wanaoshukiwa kuwa mo maharamia wameteka nyara meli ya uvuvi iliyokuwa na bendera ya Yemen karibu na Eyl, kaskazini mwa…
Watu wanaoshukiwa kuwa mo maharamia wameteka nyara meli ya uvuvi iliyokuwa na bendera ya Yemen karibu na Eyl, kaskazini mwa…
OIC yalaani hatua ya Marekani dhidi ya shirika la UNRWA
Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imelaani vikali uamuzi wa serikali ya Marekani wa kuliondolea kinga ya kisheria Shirika la…
Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imelaani vikali uamuzi wa serikali ya Marekani wa kuliondolea kinga ya kisheria Shirika la…
Waziri wa Mafuta: Sera ya kusimamisha uuzaji mafuta ya Iran nje ya nchi imefeli na itaendelea kufeli
Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohsen Paknejad amesema vikwazo havina tija yoyote na akasisitiza kwamba, sera…
Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohsen Paknejad amesema vikwazo havina tija yoyote na akasisitiza kwamba, sera…