Kinara wa upinzani nchini Kenya aikosoa tume ya uchaguzi IBC

Kinara wa muungano wa upinzani nchini Kenya, CORD, Raila Odinga ametaka kuongezwa kwa idadi ya mashine za kuandikisha wapiga kura ambazo zitatumika kwenye zoezi la kuorodhesha wapiga kura wapya, linaloanza Jumatatu ya wiki ijayo.