Kinara wa muungano wa upinzani nchini Kenya, CORD, Raila Odinga ametaka kuongezwa kwa idadi ya mashine za kuandikisha wapiga kura ambazo zitatumika kwenye zoezi la kuorodhesha wapiga kura wapya, linaloanza Jumatatu ya wiki ijayo.
Related Posts

Afrika Kusini: Jumuiya ya LGBTQIA+ inadai haki kwa imamu aliyeuawa kwa risasi
Nchini Afrika Kusini, mamia ya Waafrika Kusini walitoa heshima kwa Imamu Muhsin Hendricks siku ya Jumamosi, Machi 1, wakati wa…

Sudan: Wapiganaji wa RSF wamejiondoa katika mji mkuu wa Khartoum
Kiongozi wa kundi la RSF nchini Sudan, amethibitisha wapiganaji wake kujiondoa toka kwenye mji mkuu wa Khartoum, ambao kwa sasa…

DRC yaamua kusitisha mauzo yake ya cobalt kwa miezi minne
Kinshasa imeamua kusitisha kwa muda wa miezi minne mauzo yake ya cobalt, ambayo hutumika haswa katika utengenezaji wa betri zinazoweza…