Kihausa, lugha ya kitaifa ya Niger baada ya Kifaransa kupunguzwa hadhi

Katika hatua ya kijasiri ya kuelekea kwenye uhuru kamili na kuondoa mabaki ya ukoloni, Niger imetangaza Kihausa kuwa lugha ya kitaifa huku lugha ya Kifaransa ikiwa imeshushwa hadhi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *