Khatibu wa msikiti wa al-Aqswa aonya kuhusu siasa hatarishi za wavamizi

Khatibu wa Msikiti wa Al-Aqswa ameonya kuhusiana na kushadidi mashambulizi ya Wazayuni dhidi ya Msikiti wa Al-Aqswa na Baytul Muqaddas, na na kutoa mwito wa kukabiliana mara moja na vitendo hivyo visivyo vya kibinadamu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *