Kenya yatupilia mbali madai ya Sudan kwamba inaunga mkono RSF

Serikali ya Kenya imekanusha madai yaliyotolewa na uongozi wa kijeshi nchini Sudan unaoilaumu Nairobi kwa mzozo unaoendelea nchini Sudan na kuwa nchi hiyo inaunga mkono kundi la RSF.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *