Kaulimbiu ya Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu ni Tuko kwenye Ahadi Ewe Quds

Mkuu wa Kamati Kuu ya Intifadha na Siku ya Kimataifa ya Quds amesema kuwa: Tutaadhimisha Siku ya Quds mwaka huu kwa kaulimbiu ya Tuko kwenye Ahadi Ewe Quds ikiwa ni kumbukumbu ya shahidi Sayyid Hassan Nasrullah, shahidi Haniyeh na makumi ya mashahidi wa kambi ya Muqawama.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *