Vyombo vya habari vya Kiebrania vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimeakisi kwa wingi kauli aliyotoa hivi karibuni Dakta Ali Larijani, Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika mahojiano na televisheni ya hapa nchini, alipotishia kwamba endapo itaendelea kuandamwa na vitisho, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itachukua hatua ya kuunda silaha za nyuklia.
Related Posts
Urusi inafuta kituo cha amri cha Kiukreni katika Mkoa wa Kharkov – MOD (VIDEO)
Urusi inafuta kituo cha amri cha Kiukreni katika Mkoa wa Kharkov – MOD (VIDEO)Picha zinaonyesha majengo yanayokaliwa na vikosi vya…
Urusi inafuta kituo cha amri cha Kiukreni katika Mkoa wa Kharkov – MOD (VIDEO)Picha zinaonyesha majengo yanayokaliwa na vikosi vya…
Tel Aviv yakumbwa na mshtuko baada ya Trump kutangaza ushuru kwa bidhaa zote za Israel
Maafisa wa utawala ghasibu wa Israel wamepatwa na mshtuko baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutangaza kutoza ushuru wa…
Maafisa wa utawala ghasibu wa Israel wamepatwa na mshtuko baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutangaza kutoza ushuru wa…

Wanaharakati wa Kenya kuishtaki serikali ya Tanzania kwa ukiukaji wa haki
Wanaharakati wa haki za binadamu nchini Kenya wanapanga kwenda mahakamani kuishtaki serikali ya Tanzania, kwa kile wanasema imekiuka haki za…
Wanaharakati wa haki za binadamu nchini Kenya wanapanga kwenda mahakamani kuishtaki serikali ya Tanzania, kwa kile wanasema imekiuka haki za…