Katika jitihada za kupunguza ajali za barabarani ambazo zimekuwa zikigharimu maisha ya mamia ya watu kila mara, Taasisi ya Mpang…

Katika jitihada za kupunguza ajali za barabarani ambazo zimekuwa zikigharimu maisha ya mamia ya watu kila mara, Taasisi ya Mpang…

Katika jitihada za kupunguza ajali za barabarani ambazo zimekuwa zikigharimu maisha ya mamia ya watu kila mara, Taasisi ya Mpango wa Usalama Barabarani (TARSI) kwa kushirikiana na Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) wametoa mafunzo maalum kwa madereva kuhusu mbinu za kuepuka ajali.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mafunzo hayo jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa TARSI, Maliki Balongo amesema kuwa mafunzo hayo ni sehemu ya mikakati endelevu ya kuokoa maisha ya watu.

#AzamTVUpdates
✍Upendo Michael
Mhariri | John Mbalamwezi

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *