Katibu Mkuu wa UN: Maendeleo ya kidijitali yanawaacha nyuma wanawake

Tarehe 17 Mei 2025, Siku ya Kimataifa ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (TEHAMA), ulimwengu umeadhimisha miaka 160 tangu kuanzishwa kwa Muungano wa Kimataifa wa Mawasiliano, ITU, kwa kuangazia mchango wa teknolojia katika kubadilisha maisha ya binadamu kuanzia kwenye telegrafu hadi redio, kutoka mtandao wa intaneti hadi akili mnemba AI.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *