Katibu Mkuu wa UN asema ameshtushwa na mashambulio mapya ya Israel Ghaza

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema, ameshtushwa na mashambulizi ya hivi karibuni ya anga yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ghaza yaliyoua shahidi mamia ya Wapalestina wakiwemo watoto na wanawake.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *