
UONGOZI wa Kagera Sugar ya kocha Juma Kaseja, umesisitiza kwamba una imani na staa huyo aliyepewa timu hivikaribuni na tena walichelewa kumpa kazi hiyo.
Kaseja ambaye alianza kazi mwanzoni mwa mwezi machi,Baada ya kuondoka kwa kocha Melis Medo aliyetimkia zake Singida Black Stars.
Kabla ya uwepo wa kocha huyo,Kagera ilikuwa na rekodi ya kucheza mechi 22, ikishinda mityatu,sare sita, kupoteza 13.