Karibu nusu ya Wadenmark wanaamini Marekani ni tishio kwa nchi yao

Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa na Taasisi ya Utafiti ya UGO ya nchini Uingereza yameonyesha kuwa asilimia 46 ya wananchi wa Denmark wanaamini kuwa Marekani ni tishio kuu kwa nchi yao.