Kanisa Katoliki Tanzania laitaka serikali kumuachilia huru Tundu Lissu

Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki nchini Tanzania (TEC) limetoa wito kwa serikali kuwaachilia bila masharti viongozi wa kisiasa waliokamatwa kwa kudai haki, likisisitiza kuwa hatua hiyo ni muhimu katika kulinda amani ya taifa, hasa kuelekea mwaka wa uchaguzi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *