Ripoti kutoka Kenya zinasema, watu watano kati ya saba walioteuliwa na Rais William Ruto kusimamia Uchaguzi Mkuu ujao wana uhusiano wa moja kwa moja au usio wa moja kwa moja na kiongozi huyo pamoja na mshirika wake katika Serikali Jumuishi, Raila Odinga, hali ambayo imezua malalamiko kutoka kambi ya upinzani kwamba walioteuliwa hawatakuwa maamuzi huru.
Related Posts
Wananchi wa Morocco wafanya maandamano 105 kuiunga mkono Gaza
Televisheni ya al Jazeera yenye makao yake nchini Qatar imetangaza kuwa wananchi wa Morocco wamefanya maandamano 105 katika miji 58…
Televisheni ya al Jazeera yenye makao yake nchini Qatar imetangaza kuwa wananchi wa Morocco wamefanya maandamano 105 katika miji 58…
Iran yaonya; Israel inataka ‘kuvuruga diplomasia’ kupitia hujuma, mauaji ya kigaidi
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi ameonya kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel na makundi fulani…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi ameonya kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel na makundi fulani…
Mwanadiplomasia wa zamani wa Iran: Mazungumzo na Marekani yanaendelea vizuri
Msemaji wa zamani wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran na balozi wa zamani wa Iran nchini Italia amesema:…
Msemaji wa zamani wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran na balozi wa zamani wa Iran nchini Italia amesema:…