Kambi ya upinzani Kenya yapinga uteuzi wa Rais Ruto wa makamishna wa IEBC

Ripoti kutoka Kenya zinasema, watu watano kati ya saba walioteuliwa na Rais William Ruto kusimamia Uchaguzi Mkuu ujao wana uhusiano wa moja kwa moja au usio wa moja kwa moja na kiongozi huyo pamoja na mshirika wake katika Serikali Jumuishi, Raila Odinga, hali ambayo imezua malalamiko kutoka kambi ya upinzani kwamba walioteuliwa hawatakuwa maamuzi huru.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *