Kamanda: Jeshi la Iran litawaponda maadui wakifanya kosa lolote

Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Brigedia Jenerali Kiumars Heidari amesema kikosi chake kiko macho na tayari kabisa kuwaangamiza maadui endapo watathubutu kufanya makosa yoyote dhidi ya taifa hili.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *