Kamanda mwandamizi wa Iran amesema Iran itabadilisha mbinu na mikakati yake ya kijeshi ili kukabiliana na vitisho vinavyobadilika. Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Iran, Brigedia Jenerali Alireza Sabahi-Fard, ameyasema hayo Jumamosi na kuongeza kuwa maadui na wavamizi hawawezi kufikia anga ya Iran.
Related Posts
Operesheni ya Jeshi la Somalia yaua magaidi 70 wa Al-Shabaab katika jimbo la Hirshabelle
Wizara ya Habari ya Somalia imetangaza kuwa vikosi vya jeshi vikishirikiana na vikosi vingine vya ndani vimewaua wanamgambo wapatao 70…
Wizara ya Habari ya Somalia imetangaza kuwa vikosi vya jeshi vikishirikiana na vikosi vingine vya ndani vimewaua wanamgambo wapatao 70…
Kiongozi Muadhamu: Ardhi yote ya Palestina, kuanzia mtoni hadi baharini ni mali ya Wapalestina
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kkiislamu ya Iran amesema kuwa, ardhi yote ya Palestina, kuanzia mtoni hadi baharini ni mali…
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kkiislamu ya Iran amesema kuwa, ardhi yote ya Palestina, kuanzia mtoni hadi baharini ni mali…

Zelensky anatelezesha kidole kwa siri Uchina
Zelensky anatelezesha kidole kwa siri UchinaKiongozi huyo wa Ukraine anaonekana kuikosoa Beijing kuhusu vikwazo vya usafirishaji wa ndege zisizo na…
Zelensky anatelezesha kidole kwa siri UchinaKiongozi huyo wa Ukraine anaonekana kuikosoa Beijing kuhusu vikwazo vya usafirishaji wa ndege zisizo na…