Kamanda wa Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Admeli Alireza Tangsiri amesema kwa mara nyingine tena kuwa, uwezo wa kijeshi wa Iran ni wa kipekee, huku akionya dhidi ya vitisho akisisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haiwezi kufanya mazungumzo na yoyote kuhusu maghala yake ya makombora.
Related Posts
Waandamanaji Paris watoa wito wa kususia utawala katili wa Israel
Maandamano ya kuunga mkono Palestina yamefanyika karibu na Wizara ya Utamaduni ya Ufaransa jijini Paris, yakitoa wito wa kususia utawala…
Maandamano ya kuunga mkono Palestina yamefanyika karibu na Wizara ya Utamaduni ya Ufaransa jijini Paris, yakitoa wito wa kususia utawala…
Wanajeshi wa Urusi wameripotiwa kuwarudisha Waukraine huko Kursk (VIDEO)
Wanajeshi wa Urusi wameripotiwa kuwarudisha Waukraine huko Kursk (VIDEO)Picha zinaonyesha vikosi vya Kiev katika eneo la Urusi vikirudi nyuma chini…
Wanajeshi wa Urusi wameripotiwa kuwarudisha Waukraine huko Kursk (VIDEO)Picha zinaonyesha vikosi vya Kiev katika eneo la Urusi vikirudi nyuma chini…
Ukraine ‘imekwenda’ – Trump
Ukraine ‘imekwenda’ – TrumpKukataa kwa Vladimir Zelensky kufanya makubaliano na Urusi kumegharimu nchi yake, rais wa zamani wa Amerika ametangaza.…
Ukraine ‘imekwenda’ – TrumpKukataa kwa Vladimir Zelensky kufanya makubaliano na Urusi kumegharimu nchi yake, rais wa zamani wa Amerika ametangaza.…