Kabila kuvuliwa kinga ya Urais, nini kinafuata na nini hatma yake?

Kabila kuvuliwa kinga ya Urais, nini kinafuata na nini hatma yake?

Ni rasmi sasa Bunge la Seneti la DRC limeondoa kinga ya aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Joseph Kabila, na hivyo kumtengenezea njia ya kufunguliwa mashtaka, je hii itakuwa rahisi?

​  BBC News Swahili

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *