Jumatano hii, Taifa Stars watakuwa dimbani wakicheza na Eswatini mchezo wa COSAFA kundi C.
Mechi hii itachezwa kuanzia saa 10:00 jioni na kuruka mbashara kupitia AzamSports4HD.
Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama mchezo huu.
#TaifaStars #Eswatini #COSAFA