Joto lasababisha madhara makubwa barani Afrika

Ripoti mpya kuhusu “Hali ya Hewa Afrika 2024” iliyotolewa wiki hii na Shirika la Umoja wa Mataifa la Utabiri wa Hali ya Hewa Duniani WMO imeonya kwamba muongo wa joto zaidi kuwahi kushuhudiwa Afrika umeleta madhara makubwa kwa bara hilo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *