Jordan yapinga juhudi za RSF za kuunda serikali nyingine nchini Sudan

Jordan imepinga juhudi zozote zinazoweza kuhatarisha umoja wa Sudan, ikiwa ni pamoja na jitihada za kuundwa serikali nyingine ambazo zinafanywa na wapinzani wa jeshi la Sudan na imesema kuwa jambo hilo linaweza kushadidisha tu mgogoro wa Sudan.