Wanawake watano walioibiwa kutoka kwa familia zao wakiwa watoto kwa kuwa machotara walishinda kesi yao ya kisheria ya kulipwa fidia dhidi ya serikali ya Ubelgiji mnamo Desemba 2024. Huu ni uamuzi wa kihistoria ambao wataalamu sasa wanasema unaweza kusababisha fidia zaidi. Mmoja wao anazungumza na mwandishi wa BBC Kaine Pieri.
Related Posts
‘Nilitaka tu kuwa na nyumba na kulipa madeni, nikaamua kuuza figo yangu’
Ununuzi ni kati ya dola $1,700 na $2,700 ambayo hulipwa kiasi cha kuanzia kabla kufanyiwa operesheni na kumaliziwa kiasi kilichobaki…
Ununuzi ni kati ya dola $1,700 na $2,700 ambayo hulipwa kiasi cha kuanzia kabla kufanyiwa operesheni na kumaliziwa kiasi kilichobaki…

Sheikh Kazem Siddiqi: Iran ina haki kujibu chochoko za utawala wa Kizayuni wa Israel
Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuhusu mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni…
Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuhusu mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni…
Vipodozi: Unajua hatari ya Kope bandia, wanja na rangi ya mdomo unayotumia?
Je, wewe huosha brashi zako za mapambo mara ngapi? Umewahi kuazima ujiti wa kupakia wanja kutoka kwa rafiki au kujipaka…
Je, wewe huosha brashi zako za mapambo mara ngapi? Umewahi kuazima ujiti wa kupakia wanja kutoka kwa rafiki au kujipaka…