Jinai za utawala wa Kizayuni ni kubwa mno na hazivumiliki kiasi kwamba hata viongozi wa Uingereza, Canada na Ufaransa wametishia kuiwekea vikwazo Israel kutokana na uhalifu wa kivita na jinai za kutisha huko Ghaza. Tishio hilo limezidisha mashinikizo kwa nduli wa Ghaza, yaani waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu.
Related Posts
Rais Traoré wa Burkina Faso aikosoa vikali kamandi ya kijeshi ya Marekani barani Afrika
Rais Ibrahim Traoré wa Burkina Faso amemkosoa vikali mkuu wa Kamandi ya Kijeshi ya Marekani barani Afrika kwa kuingilia mambo…
Rais Ibrahim Traoré wa Burkina Faso amemkosoa vikali mkuu wa Kamandi ya Kijeshi ya Marekani barani Afrika kwa kuingilia mambo…
Wajerumani waandamana kupinga kupeleka silaha Ukraine na Israel
Wajerumani waandamana kupinga kupeleka silaha Ukraine na Israel Maelfu ya watu wamejitokeza katika mitaa ya Berlin kupinga kukabidhiwa silaha kwa…
Wajerumani waandamana kupinga kupeleka silaha Ukraine na Israel Maelfu ya watu wamejitokeza katika mitaa ya Berlin kupinga kukabidhiwa silaha kwa…
Watu 8 wameuawa na 11 kujeruhiwa katika mlipuko wa Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria
Takriban watu wanane wameuawa na wengine 11 kujeruhiwa wakati basi moja katika Jimbo la Borno nchini Nigeria lilipokanyaga bomu lililotegwa…
Takriban watu wanane wameuawa na wengine 11 kujeruhiwa wakati basi moja katika Jimbo la Borno nchini Nigeria lilipokanyaga bomu lililotegwa…