Jinai za Israel ni kubwa mpaka UK, Canada na Ufaransa zatishia kuiwekea vikwazo

Jinai za Israel ni kubwa mpaka UK, Canada na Ufaransa zatishia kuiwekea vikwazo

Jinai za utawala wa Kizayuni ni kubwa mno na hazivumiliki kiasi kwamba hata viongozi wa Uingereza, Canada na Ufaransa wametishia kuiwekea vikwazo Israel kutokana na uhalifu wa kivita na jinai za kutisha huko Ghaza. Tishio hilo limezidisha mashinikizo kwa nduli wa Ghaza, yaani waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *