Jeshi la Yemen lautwanga tena kwa kombora uwanja wa ndege wa Israel

Jeshi la Yemen limetangaza kuwa kwa mara nyingine tena limeutwangwa kwa kombora la balestiki na droni uwanja wa ndege wa Ben Gurion wa utawala wa Kizayuni huko Tel Aviv.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *