Jeshi la Yemen limetangaza kuhusika na mfululizo wa mashambulizi yaliyofanyika kwa ustadi wa hali ya juu na kuzitwanga meli za kivita za Marekani, ikiwa ni pamoja na USS Harry S. Truman, katika Bahari Nyekundu, ikiwa ni kuendelea kukabiliana na uvamizi wa Marekani dhidi ya Yemen.
Related Posts
Unicef: Watoto wa Gaza wana kiu na wana njaa
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), limeeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya waliyonayo watu wa Ukanda wa…
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), limeeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya waliyonayo watu wa Ukanda wa…

Watu tisa wamejeruhiwa katika shambulizi kubwa la ndege isiyo na rubani ya Ukraine katika eneo la Urusi – gavana
Watu tisa wamejeruhiwa katika shambulizi kubwa la ndege isiyo na rubani ya Ukraine katika eneo la Urusi – gavanaKiev imefanya…
Watu tisa wamejeruhiwa katika shambulizi kubwa la ndege isiyo na rubani ya Ukraine katika eneo la Urusi – gavanaKiev imefanya…
Mwito wa Iran kwa jamii ya kimataifa wa kuzingatiwa hali ya Gaza
Esmail Baghaei, msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito kwa jamii ya…
Esmail Baghaei, msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito kwa jamii ya…