Jeshi la Sudan Kusini limetangaza kuwa limeukomboa mji muhimu katika jimbo la Upper Nile ambao ulikuwa umetekwa na wanamgambo wa kabila la Nuer mwezi Machi katika mapigano ambayo yalipelekea kuwekwa kwenye kizuizi cha nyumbani Makamu wa Kwanza wa Rais Riek Machar na kuibua mzozo mkubwa wa kisiasa nchini humo.
Related Posts
Christopher Hedges: Nasikitishwa na tabia ya kuwataja Waislamu kuwa ni mashetani
Mwandishi wa habari wa Marekani, Christopher Hedges, amesema anasikitishwa na jinsi Waislamu wanavyodhihirishwa katika nchi za Magharibi katika sura ya…
Mwandishi wa habari wa Marekani, Christopher Hedges, amesema anasikitishwa na jinsi Waislamu wanavyodhihirishwa katika nchi za Magharibi katika sura ya…
Indhari ya WHO kuhusu kushtadi migogoro ya kibinadamu kufuatia kusimamishwa misaada ya Marekani
Afisa mmoja wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Jumapili Aprili 20 alitahadharisha kuwa kupungua misaada ya nje ya Marekani kunaweza…
Afisa mmoja wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Jumapili Aprili 20 alitahadharisha kuwa kupungua misaada ya nje ya Marekani kunaweza…
Msaada wa kijeshi wa Ujerumani haukuweza kuokoa serikali ya Kiev – mbunge mkuu wa Urusi
Msaada wa kijeshi wa Ujerumani haukuweza kuokoa serikali ya Kiev – mbunge mkuu wa Urusi“Vifaru na vifaru vyote vipya vya…
Msaada wa kijeshi wa Ujerumani haukuweza kuokoa serikali ya Kiev – mbunge mkuu wa Urusi“Vifaru na vifaru vyote vipya vya…