Jeshi la Msumbiji laokoa wanawake 280 na watoto kutoka mikononi mwa wanamgambo wa Naparama

Jeshi la Msumbiji limesema kuwa limefanikiwa kuokoa wanawake na watoto wasiopungua 280 waliokuwa wametekwa nyara na wanamgambo wa Naparama katika majimbo ya kaskazini na katikati mwa nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Afrika.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *