Vikosi tofauti vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimeanza awamu kuu ya mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya Zulfiqar-1403 leo Jumamosi (Februari 22) katika pwani ya Makran, kusini mashariki, Bahari ya Oman, na kaskazini mwa Bahari ya Hindi.
Related Posts
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu aelekea Addis Ababa, katika ziara ya kuimarisha uhusiano
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Mohammad Baqer Qalibaf, ameondoka mjini Tehran leo asubuhi akielekea Addis Ababa, kwa shabaha…
Waziri Mkuu wa Urusi afanya ziara ya kwanza kabisa nchini Iran
Waziri Mkuu wa Urusi afanya ziara ya kwanza kabisa nchini IranRais wa Iran Masoud Pezeshkian alimkaribisha Mikhail Mishustin mjini Tehran…
Mzozo wa DRC: Bunge la Rwanda lalaani azimio la EU dhidi yake
Bunge la Rwanda limekosoa vikali azimio lililopasishwa hivi karibuni na Bunge la Ulaya, likidai kuwa Rwanda linahusika na mzozo na…