Je, utajiri wa madini ndio imegeuza DR Congo kuwa eneo la vita?

DR Congo kuna bati, tantalum, tungsten (3T) na coltan, pia nchi nchi hiyo ina takriban 70% ya hifadhi ya cobalt duniani, nyingi ikiwa mashariki. Vilevile taifa hilo la Afrika ya kati lina akiba kubwa ya shaba, almasi, dhahabu, lithiamu, mafuta na gesi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *