Je, tishio jipya kwa amani ya Ethiopia ni nini?

Uamuzi wa serikali ya Ethiopia wa kufuta hadhi ya kisheria ya Chama cha Ukombozi wa Watu wa Tigray (TPLF) umeibua wasiwasi mkubwa kuhusu mustakabali wa amani nchini humo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *