Je, mpango wa Trump wa kulifungua tena gereza la Alcatraz utawezekana?

Rais wa Marekani anasema anaamini gereza hilo linaweza kutumika tena kuwahifadhi wafungwa hatari, ili kuimarisha sheria na utulivu nchini Marekani.

​  BBC News Swahili

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *