Ukanda wa Gaza uko katika janga kubwa la kibinadamu. Katika miezi iliyopita, kushadidi mzingiro wa utawala haramu wa Israel katika eneo hilo sambamba na mashambulizi ya mara kwa mara ya angani na nchi kavu, na vizuizi vikali vya misaada ya kibinadamu vilivvyowekwa na utawala huo wa Kizayuni vimeharibu si tu miundombinu ya msingi ya eneo hilo, bali pia vimeweka hatarini matumaini ya kuendelea kuishi kwa malaki ya raia wa Palestina.
Related Posts
Israel yampiga marufuku msomi maarufu wa Kiislamu kuingia Msikiti wa Al-Aqsa
Vikosi vya utawala vamizi wa Israel vimemkamata na kumpiga marufuku Sheikh Najeh Bakirat, kiongozi mashuhuri wa Kiislamu Palestina kuingia katika…
Vikosi vya utawala vamizi wa Israel vimemkamata na kumpiga marufuku Sheikh Najeh Bakirat, kiongozi mashuhuri wa Kiislamu Palestina kuingia katika…
Ayatullah Khatami: Iran haishurutishwi wala haisalimu amri
Khatibu wa Swala ya leo ya Ijumaa katika jiji la Tehran ameashiria mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya…
Khatibu wa Swala ya leo ya Ijumaa katika jiji la Tehran ameashiria mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya…
Jaji wa Marekani apasisha kufukuzwa mwanaharakati Mahmoud Khalil kwa sababu ya Palestina
Jaji wa mahakama ya Louisiana nchini Marekani amepasisha uamuzi wa kundolewa nchini humo mwanaharakati Mahmoud Khalil, mhitimu wa Chuo Kikuu…
Jaji wa mahakama ya Louisiana nchini Marekani amepasisha uamuzi wa kundolewa nchini humo mwanaharakati Mahmoud Khalil, mhitimu wa Chuo Kikuu…