Jasusi wa MOSSAD nchini Iran anyongwa, mtandao wake wasambaratishwa

Katika pigo kubwa la kiusalama kwa utawala wa Kizayuni wa Israel na vibaraka wake, Mahakama ya Iran imetangaza mapema leo Jumatano kwamba imetekeleza hukumu ya kunyongwa mmoja wa majasusi wakubwa wa shirika la ujasusi la Israel, MOSSAD.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *