Jaji wa mahakama ya Louisiana nchini Marekani amepasisha uamuzi wa kundolewa nchini humo mwanaharakati Mahmoud Khalil, mhitimu wa Chuo Kikuu cha Columbia na mwenye kadi ya kijani ya kumruhusu kuishi Marekani kutokana na kutumia haki yake ya kujieleza na kuunga mkono taifa linalodhulumiwa la Palestina.
Related Posts
Njaa, magonjwa yanawatesa wakimbizi wa Rohingya, Trump apunguza misaada
Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, Filippo Grandi amesema kuwa, uamuzi wa utawala wa Trump…
Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, Filippo Grandi amesema kuwa, uamuzi wa utawala wa Trump…
Qalibaf: Utawala wa Kizayuni ni mtambo wa mauaji wa Marekani mtendajinai
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema: “Utawala wa Kizayuni wa Israel ni mashine ya mauaji ya…
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema: “Utawala wa Kizayuni wa Israel ni mashine ya mauaji ya…
Kutimuliwa mfululizo viongozi Tunisia; kunani?!
Tunisia imeshuhudia mabadiliko ya mfululizo, ya mara kwa mara na ya ghafla katika nafasi ya waziri mkuu tangu Kais Saied…
Tunisia imeshuhudia mabadiliko ya mfululizo, ya mara kwa mara na ya ghafla katika nafasi ya waziri mkuu tangu Kais Saied…