#VIDEO: Umoja wa Wafugaji na Wakulima, Halmashauri ya Wilaya ya Meru, mkoani Arusha, wameiomba Serikali kuwatafutia masoko ya uhakika ya kuuzia bidhaa zao ikiwemo maziwa, ili waweze kunufaika na biashara zao kutokana na kukosekana kwa masoko hayo katika maeneo yao.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.
#Follow @radioonetanzania