#U20NBC | Wachambuzi wa soka Rashid Hamis na Adriano James wakichambua hatua ya nane bora ya #NBCYouthU20PremierLeague2025 ambap…

#U20NBC | Wachambuzi wa soka Rashid Hamis na Adriano James wakichambua hatua ya nane bora ya #NBCYouthU20PremierLeague2025 ambapo kundi A wataanza leo kwenye dimba la Azam Complex.

Ambapo Simba SC watakipiga dhidi ya Dodoma Jiji saa 10:00 jioni, huku Azam FC wao watawakaribisha KenGold FC ya Mbeya majira ya saa 1:00 usiku,

Michezo yote itakuwa MBASHARA #AzamSports1HD.

Imeandaliwa na @jairomtitu3

#U20YouthNBCPremierLeague2025 #U20NBC2025 #LigiKuuYaNBC #NBCPLUpdates #AzamTVSports

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *