“.…sasa mbali ya haya niliyoyataja lakini nilikuwa namsikiliza Katibu Mkuu wa Dayosisi hii, ametaja mambo kadhaa ambayo Kanisa hili linafanya….sasa ndugu zangu huu ndio utumishi wa dini, na kazi hii mnayoifanya inapeleka ujumbe kwa wale waliojionyesha kama Watumishi wa dini lakini kwa kweli ni watumishi wa ushetani…” Rais wa Tanzania – Dkt.Samia Suluhu Hassan.
#itvdigital #itvupdates #itvtanzania.
#follow @radioonetanzania