“…niliona kwamba matamshi haya yataleta vurugu na amani ya nchi kwani upo utaratibu mzuri wa kupata wagombea, wakupata viongozi…”-Shahidi wa Upande wa Jamhuri kwenye kesi ya kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Tundu Lissu.